Wanafunzi Niliowasomesha
ya wanafunzi wanaridhika
Wanafunzi waliofanikiwa
Assalam aleikum, Asante sana kwa mafunzo yako, yalinifanya niweze kupambana, sina cha kukulipa, nilichotoa ni kidogo ila nilichopokea kwako ni kikubwa, Allah akupe afya njuma uweze kuwasaidia na wengine.
Mwalimu asante sana kwa kutupa ujuzi Mungu akubariki,tukipata faida tutakukumbuka kwa soda😄😄.
Haya jamani na mimi nimeweza sabuni nzurir povu jingi.Asante sana mwalimu wetu mungu akubariki
Mimi ni mwalimu wa ujasiriamali na mwandishi wa vitabu vinavyohusiana na ujasiriamali. Nimejikita katika kusaidia watu kujifunza na kukuza ujuzi wao katika biashara, hasa katika maeneo yafuatayo:
Hapana, sio utapeli; watu zaidi ya 300+ wameshajiunga na matokeo yao yanaonekana kwenye ushuhuda.
Biashara hii haihitaji mtaji mkubwa; kuna machimbo pia takuelekeza ambapo utapata malighafi kwa bei rahisi.
Faida utapata kutokana na mbinu na njia utakazojifunza ambazo ni za kipekee.
Utatumwa malighafi hadi ulipo, na kuna namba za simu za wauzaji wa malighafi katika mikoa yote utapewa.
Utafundishwa hatua kwa hatua ili kutengeneza bidhaa zenye ubora kama unavyoona hapo juu.
Biashara hii unaweza kuifanya ukiwa nyumbani kwako pamoja na watoto wako.
Baada ya kukamilisha malipo, atanitumia SMS kupitia WhatsApp namba 0742 250 034. Baada ya hapo, namuunganisha kwenye kozi.
Bei ya kozi hii ni Tsh 35,000.
Muda wa kozi hii unategemea uelewa wa mtu, lakini usimamizi wake ni ndani ya mwaka mzima kuanzia tarehe aliyojiunga.
Mafunzo ni online kupitia WhatsApp, na mjasiriamali ndiye anachagua bidhaa ya kuanza nayo hadi atakapoelewa.
Ndio, atapata usimamizi kwa kipindi cha mwaka mzima kupitia kundi la WhatsApp ambalo ni la wajasiriamali kama yeye.
Tutampatia urahisi wa kupata malighafi za kutengenezea bidhaa hizo kwa kumpatia namba za wauzaji kulingana na maeneo aliyopo na pia tutampatia machimbo ya bei rahisi kwa kumpa namba za simu.
Ndio, utaweza kukua kiuchumi na kiufundi kupitia mafunzo na ushauri unaopata baada ya kujiunga.
Airtel money 0693 127 865
Tigo pesa 0711 383 621
Jina kinganije juma kinganije
Muda wa kozi hii inategemeana na uelewa wa mtu, lakini usimamizi wake ni ndani ya mwaka mzima kuanzia tarehe aliojiunga.
Mafunzo ni online kupitia whatsapp.